Saturday, May 24, 2014

WAFUTA NUKSI YA MIAKA TAKRIBANI TISA BILA KOMBE... (ARSENAL)



Wachezaji wa Arsenal wakishangilia kombe la FA walilo lipata katika mchezo mkali dhidi ya Hull city Ulio malizika kwa dak 120 katka Uwanja wa Wembley.....

Wednesday, May 15, 2013

Pamoja kiaaa..............

Kitaa nikiwa nimejiachia fulu marahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Lete habari kjana.................

Bonge la Afro kama kawa

Saturday, March 16, 2013

Ziara iliyo fanywa na kundi la KAOLE SANAA GROUP kwenda kutembelea Bungeni....

 Katibu Mwenezi wa kaole akisalimiana na Mh Samweli Sita.
Hapa kiwa tena na Mbunge wa Kigoma Zito Kabwe.
  Kaole kiujumla wakiwa bungeni Dodoma
Omar na Ubaya wakiwa na mmoja wa waheshimiwa.

Tuesday, December 18, 2012

CHURA-MTU..azaliwa baada ya mimba iliyodumu miezi 13.....mtoto huyo hana ubongo wa mbele(kwa ajili ya kufikiri)....sehemu nyingine ya ubongo haijafunikwa kwa ngozi wala mfupa.....kwa kawaida watoto wa aina hiyo hufa baada ya saa chache.

CHURA-MTU..azaliwa baada ya mimba iliyodumu miezi 13.....mtoto huyo hana ubongo wa mbele(kwa ajili ya kufikiri)....sehemu nyingine ya ubongo haijafunikwa kwa ngozi wala mfupa.....kwa kawaida watoto wa aina hiyo hufa baada ya saa chache.kwa kweli hakuna anaye jua chochote zaida ya MUNGU.

Wednesday, December 12, 2012

Ni mchakato wa kundi la KAOLE SANAA GROUP katika mchezo wao mpya unaokaribia kuruka hivi karibuni katika kituo chako ukipendacho cha TBC1.

 Camera tamu sana kam ukiijua
 Mapumziko baada ya shootinig......


 chobala..Akiwa na waerembo wake..


 Ben Blanko akitoa maelezo katika scene hizo



 Kalinde akikabidhiwa vifaa baada ya kazi
 "Tembea hivi" Nimaneno aliyokua ananiambia Ben Blonko

 Hapa nimekaa na mtunzi wangu wa mchezo huu ( Ben Blanko)


 Maelekez ya scene mbalimbali
 Mapenzi ndo yalipoanzia

 Recording Ikiendelea







 Swebe akinionesha vitu ndani ya scene



 Nachukuliwa clozap. midd tight