Wachezaji wa Arsenal wakishangilia kombe la FA walilo lipata katika mchezo mkali dhidi ya Hull city Ulio malizika kwa dak 120 katka Uwanja wa Wembley.....
Maisha popote pale, kuna vikwazo vingi katika maisha kwani hayo yote ni majaribu ya dunia hii na Majaribu ni mtaji wa kuongeza Imani. Mshirikishe MUNGU wako katika kila jambo lako. Nawapenda wote.
Saturday, May 24, 2014
WAFUTA NUKSI YA MIAKA TAKRIBANI TISA BILA KOMBE... (ARSENAL)
Wachezaji wa Arsenal wakishangilia kombe la FA walilo lipata katika mchezo mkali dhidi ya Hull city Ulio malizika kwa dak 120 katka Uwanja wa Wembley.....
Wednesday, May 15, 2013
Pamoja kiaaa..............
Lete habari kjana.................
Bonge la Afro kama kawa
Saturday, March 16, 2013
Ziara iliyo fanywa na kundi la KAOLE SANAA GROUP kwenda kutembelea Bungeni....
Friday, February 1, 2013
Tuesday, January 15, 2013
Tuesday, December 18, 2012
CHURA-MTU..azaliwa baada ya mimba iliyodumu miezi 13.....mtoto huyo hana ubongo wa mbele(kwa ajili ya kufikiri)....sehemu nyingine ya ubongo haijafunikwa kwa ngozi wala mfupa.....kwa kawaida watoto wa aina hiyo hufa baada ya saa chache.
CHURA-MTU..azaliwa baada ya mimba iliyodumu
miezi 13.....mtoto huyo hana ubongo wa mbele(kwa ajili ya
kufikiri)....sehemu nyingine ya ubongo haijafunikwa kwa ngozi wala
mfupa.....kwa kawaida watoto wa aina hiyo hufa baada ya saa chache.kwa kweli hakuna anaye jua chochote zaida ya MUNGU.
Wednesday, December 12, 2012
Ni mchakato wa kundi la KAOLE SANAA GROUP katika mchezo wao mpya unaokaribia kuruka hivi karibuni katika kituo chako ukipendacho cha TBC1.
Camera tamu sana kam ukiijua
Mapumziko baada ya shootinig......
chobala..Akiwa na waerembo wake..
Ben Blanko akitoa maelezo katika scene hizo
Kalinde akikabidhiwa vifaa baada ya kazi
"Tembea hivi" Nimaneno aliyokua ananiambia Ben Blonko
Hapa nimekaa na mtunzi wangu wa mchezo huu ( Ben Blanko)
Maelekez ya scene mbalimbali
Mapenzi ndo yalipoanzia
Recording Ikiendelea
Swebe akinionesha vitu ndani ya scene
Nachukuliwa clozap. midd tight
Mapumziko baada ya shootinig......
chobala..Akiwa na waerembo wake..
Ben Blanko akitoa maelezo katika scene hizo
Kalinde akikabidhiwa vifaa baada ya kazi
"Tembea hivi" Nimaneno aliyokua ananiambia Ben Blonko
Hapa nimekaa na mtunzi wangu wa mchezo huu ( Ben Blanko)
Maelekez ya scene mbalimbali
Mapenzi ndo yalipoanzia
Recording Ikiendelea
Swebe akinionesha vitu ndani ya scene
Nachukuliwa clozap. midd tight
Subscribe to:
Posts (Atom)












