Maisha popote pale, kuna vikwazo vingi katika maisha kwani hayo yote ni majaribu ya dunia hii na Majaribu ni mtaji wa kuongeza Imani. Mshirikishe MUNGU wako katika kila jambo lako. Nawapenda wote.
Saturday, May 24, 2014
WAFUTA NUKSI YA MIAKA TAKRIBANI TISA BILA KOMBE... (ARSENAL)
Wachezaji wa Arsenal wakishangilia kombe la FA walilo lipata katika mchezo mkali dhidi ya Hull city Ulio malizika kwa dak 120 katka Uwanja wa Wembley.....
No comments:
Post a Comment