Maisha popote pale, kuna vikwazo vingi katika maisha kwani hayo yote ni majaribu ya dunia hii na Majaribu ni mtaji wa kuongeza Imani. Mshirikishe MUNGU wako katika kila jambo lako. Nawapenda wote.
Tuesday, December 18, 2012
CHURA-MTU..azaliwa baada ya mimba iliyodumu miezi 13.....mtoto huyo hana ubongo wa mbele(kwa ajili ya kufikiri)....sehemu nyingine ya ubongo haijafunikwa kwa ngozi wala mfupa.....kwa kawaida watoto wa aina hiyo hufa baada ya saa chache.
CHURA-MTU..azaliwa baada ya mimba iliyodumu
miezi 13.....mtoto huyo hana ubongo wa mbele(kwa ajili ya
kufikiri)....sehemu nyingine ya ubongo haijafunikwa kwa ngozi wala
mfupa.....kwa kawaida watoto wa aina hiyo hufa baada ya saa chache.kwa kweli hakuna anaye jua chochote zaida ya MUNGU.
Wednesday, December 12, 2012
Ni mchakato wa kundi la KAOLE SANAA GROUP katika mchezo wao mpya unaokaribia kuruka hivi karibuni katika kituo chako ukipendacho cha TBC1.
Camera tamu sana kam ukiijua
Mapumziko baada ya shootinig......
chobala..Akiwa na waerembo wake..
Ben Blanko akitoa maelezo katika scene hizo
Kalinde akikabidhiwa vifaa baada ya kazi
"Tembea hivi" Nimaneno aliyokua ananiambia Ben Blonko
Hapa nimekaa na mtunzi wangu wa mchezo huu ( Ben Blanko)
Maelekez ya scene mbalimbali
Mapenzi ndo yalipoanzia
Recording Ikiendelea
Swebe akinionesha vitu ndani ya scene
Nachukuliwa clozap. midd tight
Mapumziko baada ya shootinig......
chobala..Akiwa na waerembo wake..
Ben Blanko akitoa maelezo katika scene hizo
Kalinde akikabidhiwa vifaa baada ya kazi
"Tembea hivi" Nimaneno aliyokua ananiambia Ben Blonko
Hapa nimekaa na mtunzi wangu wa mchezo huu ( Ben Blanko)
Maelekez ya scene mbalimbali
Mapenzi ndo yalipoanzia
Recording Ikiendelea
Swebe akinionesha vitu ndani ya scene
Nachukuliwa clozap. midd tight
Monday, December 3, 2012
Mchakato wa Wasanii wa KAOLE SANAA GROUP wakiwa Mazoezini.
Mazoezi ya theta game kwa pamoja.
Nikiwa nimekaa na Msanii Mkongwe nchini Bi Fatma Makongoro (Bi Mwenda)
K/Tibu Mkuu Wa Kaole, Kalunde akiwa amekaa na wasanii.
Baadhi ya Wasanii wakiwa makini Mazoezini.
Ben Blanko akiwa na mmoja wa wasani mazoezini.
Nikiwa nimekaa na Msanii Mkongwe nchini Bi Fatma Makongoro (Bi Mwenda)
K/Tibu Mkuu Wa Kaole, Kalunde akiwa amekaa na wasanii.
Baadhi ya Wasanii wakiwa makini Mazoezini.
Ben Blanko akiwa na mmoja wa wasani mazoezini.
Sunday, December 2, 2012
Bado nawaletea picha za michakato ya maisha yangu ya kila siku
napunga upepo maeneo ya nyumbani.
nikiwa na linex maeneo fulani hivi tukiwa tunaenda kula bata.weachatu.
Mazoezin nikiwa na Msanii mwezangu MC Kenyata.
Huyo hapo juu ndiyo mama yangu kipenz na dada yangu pekee pia huyu ndiye baba yangu mzazi.
nikiwa na linex maeneo fulani hivi tukiwa tunaenda kula bata.weachatu.
Mazoezin nikiwa na Msanii mwezangu MC Kenyata.
Huyo hapo juu ndiyo mama yangu kipenz na dada yangu pekee pia huyu ndiye baba yangu mzazi.
Subscribe to:
Posts (Atom)